waptrick.com

Waptrick E Sir - Boomba Train Song Lyrics


Verse 1

Tumekuja kuparty

Dj hebu weka tracky

Tukule heppy halafu

Tufungue sakafu

Sababu ina bamba inashika

Fungu la tisa inatufikisha

Ukiachilia mahewa

Maze Dj unatubeba

Chorus

Ah (uwii) bu bu mba, bu bu bu bu mba

(aiyaah)

Bu bu mba, bumba bumba aah

Bu bu mba, bumba bumba aah 2x

(aiyaah)

Bumba bumba aah

Verse 2

Karibia inakubamba

Vipi dada shaky your nanda

Ninakutouch touch siri ras ras

Kwenye dance floor shoa shoa

Unanoki hauchoki

Kwenye dance floor, hautoki

Unahisi hii muziki

Unahisi Nameless na mimi

It's Nameless and E-sir

In conjunction with Ogopa

Tumekuja kuhakikisha

Kwamba spika zinasikika

Hey you, mister, are you a member

Hey you, sister, wacha kulenga

Can't you see that I'm talking to you

Sasa weka mikono juu

Repeat Chorus

Hook

Ukikatika na hii ng'oma

Just be cool as a cucumber x 2

Verse 3

Aaah (hallo Nameless uko freshy lakini)

Twende

Wewe yeye yeye wewe, vice versa

Vile wataka

Mister, brother, wacha kuzubaa

Ukisleki hautapata

Fungua macho

Floor ni yako

Cheza wimbo kama ni wako

Cheza wimbo kama ni wako

Sababu huu wimbo ni wako

E-sir, hatucheki na watu

Nameless, hatucheki na watu

Ma emcee, hatucheki na watu

Ogopa, hatucheki na watu

Unahisi hizi floor za Africa (aha)

Unahisi kama unakatika (aha)

Can you feel this front to the rear (aha)

Can you feel this up in here

Repeat Chorus

Repeat Hook

Repeat Verse 1

Tumekuja kuparty

Ambia wenzetu samahani

Hawako nasi, hatuko nao

Basi wametupa mbao,

Sababu ina bamba inashika

Fungu la tisa inatufikisha

Ukiachilia mahewa

Maze Dj unatubeba

Repeat Chorus

Repeat Hook

----
» E Sir other songs
« Lyrics Search
« Waptrick Home Page
« Change Language
» Download free VPN for Android